Msanii Selena Gomez amehairisha ziara yake aliyokuwa
afanye nchini Australia kwa sababu zake ambazo hajaziweka wazi.
Kwa mujibu wa mtandao wa Gossip Cop, Selena alitoa
maelezo ambapo alisema,"mashabiki wangu ni muhimu sana kwangu, sitaki
kuwaangusha. Lakini nahitaji kupata muda wa kupumzika peke yangu kwa ajili kuwa
bora zaidi.
Gomez alikuwa amepanga kufanya onyesho hilo ambalo ni
sehemu ya tour yake ya "Star Dance" iliyoanza mwezi wa Agosti.








0 comments:
Post a Comment