MSANII
wa muziki wa kizazi kipya Quick Rocka amesema anatarajian kuachia ngoma yake
mpya ambayo atakuwa amemshirikisha mwana Chamber Squad ‘Ngwair’.
Kupitia
ukurasa wake wa Facebook, hitmaker wa Katika, amewataka fans wa muziki wa
kizazi kipya kukaa tayari kwani itakuwa ni bonge ya ngoma inayofanyika katika
studio za A.M Records chini ya Producer Manecky, jina la ngoma hiyo ni My Baby.








0 comments:
Post a Comment