ZIKIWA ni wiki kadhaa
zimepita baada ya picha za msanii Rayuu
zilizokuwa zinaonesha tattoo kuvuja mitandaoni, safari hi hali imekuwa
mbaya zaidi kwani picha nyingine zinazoonesha matiti yake zimenaswa na mtandao
wa DarTalk na
mwenyewe alipotafutwa kuelezea alibaki mdomo wazi na hajui ni mtu gani
anayezisamabaza.
Rayuu
amedai kuwa hajui lolote kwani picha hizo zipo kwenye simu yake iliyopotea
na hajua ni nani anayezisambaza ingawa aanaamini kuwa anayefanya hivyo ana
nia mbaya ya kumchafua. Msanii huyo anafanya vizuri kwenye tasnia ya filamu ni
msanii ambaye hajawahi kukumbwa na matukio kama haya awali.
“Jamani mimi sieliwi hizo picha zinatoka kwa nani, najua ndiyo kwenye simu yangu nilikuwa na picha hizo na baada ya kupotea sijui nani anayefanya upuuzi huo, nilipiga hizo picha kwa upendo wangu lakini sikuwa na maana zitoke na kusambaa mitandaoni,” alisema kwa hasira
“Jamani mimi sieliwi hizo picha zinatoka kwa nani, najua ndiyo kwenye simu yangu nilikuwa na picha hizo na baada ya kupotea sijui nani anayefanya upuuzi huo, nilipiga hizo picha kwa upendo wangu lakini sikuwa na maana zitoke na kusambaa mitandaoni,” alisema kwa hasira
0 comments:
Post a Comment