Wednesday, November 27, 2013

Waziri Mkuu Mhe.Pinda afungua Mkutano wa Kwanza wa Watalaamu wa Bodi ya Mipangomij

PG4A6789 PG4A6800Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akifungua Mkutano  wa Kwanza wa Watalaamu  wa Bodi ya  Mipangomiji   kwenye hotel ya Blue Pearl, Ubungo jijini Dar es salaam  dNovemba 27, 2013. Kulia ni Waziri wa Ardhi,Nyumba  na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka  na Katikati ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala , Raymond  Mushi. PG4A6852Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiambatana na Wazri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna TIbaijuka  baada ya kuwasili  kwenye hoteli ya Blue Parl , Ubungo jijini Dar es salaam kufungua  Mkutano  wa Kwanza   wa Watalaamu wa  Bodi ya Mipangomiji Novemba 27, 2013. (Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)

0 comments:

Post a Comment