Kiongozi wa kimila wa Kabila la Wangoni, Julius John (kulia)
akimkabidhi siraha za jadi Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana katika
mapokezi Jimbo la Peramiho, mkoani Ruvuma. Siraha ahizo ambazo ni ngao,
fimbo, rungu na shoka ni kwa ajili ya kumpa uwezo wa kupambana na
mafisadi na wengine wote wanaoitakia nchi mambo mabaya. Katikati ni
Mbunge wa Jimbo hilo, Jenista Mhagama.
0 comments:
Post a Comment