Tuesday, November 19, 2013

KINANA ATINGA PERAMIHO SONGEA NA KUWAKEMEA VIONGOZI WANORUMBANA KWA TAMAA YA KUGOMBEA MADARAKA, MALI

 Kiongozi wa kimila wa Kabila la Wangoni, Julius John (kulia) akimkabidhi siraha za jadi Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana katika mapokezi Jimbo la Peramiho, mkoani Ruvuma. Siraha ahizo ambazo ni ngao, fimbo, rungu na shoka ni kwa ajili ya kumpa uwezo wa kupambana na mafisadi na wengine wote wanaoitakia nchi mambo mabaya. Katikati ni Mbunge wa Jimbo hilo, Jenista Mhagama.





0 comments:

Post a Comment