Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamisi Kagasheki (kulia),
akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam
leo, kuhusu oparesheni kubwa ya kutokomeza ujangili dhidi ya wanyama
iitwayo 'Oparesheni Tokomeza'. Kushoto ni Msemaji wa Wizara hiyo,
Chikambi Rumisha. (PICHA NA NYENDO MOHAMED)
Balozi Kagasheki akisisitiza jambo








0 comments:
Post a Comment