
Rais
wa masharobaro maarufu kama Bob junior baada ya kutoka na Nichumu sasa leo
amefunguka na kusema kwamba anatarajia kuachia ngoma yake mpya nyingine
inayokwenda kwa jina la Kichuna na hii ndiyo cover yake mpya.Kwa hiyo
kama wewe ni shabiki wa Bob junior kaa tayari kwa ujio huu mpya.
Credit:
Djfetty
0 comments:
Post a Comment