Sunday, October 7, 2012

RICK ROSS “THE BOSS” APAGAWISHA TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2012 @LEADERS



  


I’m not a star, somebody lied I got a chopper in the car
I got a chopper in the car
I got a chopper in the car
Mama yanguuu!!! kweli wabongo noma kwa ku-party

Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti SBL Bw Ephraim Mafuru akitangaza mshindi wa bahati nasibu ya magari mawili kwa mkoa wa Dar es salaam iliyoendeshwa katika matamasha yote ya Serengeti Fiesta mwaka huu kutoka kulia ni Bw. Mrisho kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha , Rugambo Rodney Meneja masoko wa Push Mobile na kushoto ni Mkurugenzi wa Clouds Entarteinment Bw Joseph Kusaga wakishuhudia tukio hilo
Recho akitoa burudani kwa mashabiki

Diamond Platnumz akifanya makamuzi

Mavoko akiwa na Dancers wake

Shetta akipiga Kiduku Swagga
At kwa stage

Kingzilla

Pah One wakifanya yao
Linah
Aika Marealle wa kundi la Pah One akifanya yake kwa stage

 
 Mdau Edward akiwa na Mdau Regina Kumba

0 comments:

Post a Comment