Tuesday, September 25, 2012

SHINDANO LA UCHORAJI KWA TAASISI ZA KIELIMU

Mjumbe wa Kampuni ya Image Profession Abdallah Chapa akionyesha mmoja kati ya michoro, kushoto ni Msemaji wa Kamuni hiyo Erick Chrispin



Image Profession ikishirikiana na Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kwa mara nyingine inatangaza kuanza kwa muhula mpya wa pili wa Shindano la Uchoraji, maalumu kwa Taasisi za Elimu nchini.
Shindano hili ambalo litajulikana kama: Educational Drawing Competition au Image Profession Educational Drawing Competition, lina malengo ya kuibua vipaji katika fani ya uchoraji kwa kuzingatia uwekezaji kwa watoto na vijana.
Theme/ Wazo kuu la mwaka huu: ART IMITATES LIFE au SANAA HUFUATISHA MAISHA.
Makundi ya ushiriki
‘Elimu ya Chekechea
‘Elimu ya Msingi
‘Elimu ya Sekondari na
‘Elimu ya Juu
Kwa maelezo na taratibu za Shindano tembelea Facebook Page/ Group “Drawing Competition” au wasiliana na BASATA au
                  DRAWING COMPETITION – IMAGE PROFESSION,
                              P O BOX 92 DAR ES SALAAM.
         SIMU: +255 222 664 740 / +255 713 484 040 / +255 714 676 217 / +255 716 430 084
                          E-MAIL:info@imageprofession.com

0 comments:

Post a Comment