Kundi la Wagosi wa Kaya toka Tanga wamerejea tena baada ya
ukimya wa miaka nane na tayari wana albam mpya mkononi walioipa jina la
‘Uamsho’.
Kundi hilo linaloundwa na Mkoloni na Dr. John limeachia nyimbo mbili sambamba na video zake, nyimbo hizo ni ‘Gahawa’ na ‘Bao’. 






0 comments:
Post a Comment