Thursday, April 3, 2014

Ushindi wa Lupita Nyong’o wachochea sekta ya Filamu Kenya

Bado waafrika na wakenya wanaendelea kusheherekea ushindi wa Lupita Nyong’o, katika tuzo za Oscar kwa kuwa mwigizaji bora msaidizi katika filamu ya “Twelve years a Slave”.
Ushindi huo umesisimua watengenezaji wa filamu nchini Kenya na kuwapa matumaini ya kuwa, kupitia vipaji vyao wanaweza kutambulika kama vile Lupita.
Gavana wa jimbo la Machakos nchini humo ameanzisha kituo cha kutengeneza filamu, kukuza vipaji vya watengenezaji filamu pamoja na burudani, maarufu kama Machawood, kituo kitakacho kuwa cha aina yake barani Afrika.
SOMA ZAIDI: SAMMISAGO.COM

0 comments:

Post a Comment