Wednesday, December 4, 2013

Meya wa Australia amchimba mkwara Justin Beiber, amtaka afute Graffiti zake

Meya wa Australia Tom Tate amemtaka msanii Justin Beiber kurudi katika jiji hilo na kufuta graffiti alizochora katika moja ya ukuta ndani ya jiji hilo.
Beiber alichora graffiti hizo wakati wa ziara yake. Meya huyo ambaye amemuita Beiber "pop princess" Bieber alisema , "Sisi tunapenda muziki wako lakini tunachukia sana hizi graffiti zako, ulotufanyia uharibifu katika mji wetu,".
Aidha amemtaka Beiber kuchagua moja kati ya mawili, ikiwa ni kurudi na kufuta graffiti hizo or perform at the mayor’s Christmas carols event on Saturday.
Tazama video hapo chini.

0 comments:

Post a Comment