Tuesday, November 5, 2013

RAIS KIKWETE AKIKARIBISHWA NA RAIS JACOB ZUMA KATIKA MKUTANO WA PAMOJA WA SADC NA ICGLR

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikaribishwa na Rais Jacob Zuma katika mkutano wa pamoja wa SADC NA ICGLR katika ukumbi wa kimataifa wa Oliver Tambo jijini Pretoria, Afrika Kusini, usiku wa kuamkia leo Oktoba 5, 2013.

0 comments:

Post a Comment