Kiganja cha mkono kikubwa zaidi upo katika jangwa la Atacama
nchini Chile, kiganja hicho kimejengwa kwa mchanganyiko wa saruji na madini ya
chuma kina urefu wa mita 11, msanii aliyechonga mkono huo ni Mano de Desierto. Kiganja
hicho kimekuwa ni kivutio kikubwa cha watalii ambapo wamekuwa wakiminika kuona
kiganja hicho.
0 comments:
Post a Comment