Kiukweli muda wangu uwa ni
mchache sana kukaa kwenye TV,ila siku ambayo Walter aliimba wimbo wa Mawazo
nilikuwa home.....nikamsikiliza kwa umakini sana nakugundua anakitu ndani yake,
namaanisha ana uwezo wa ziada na nafasi nzuri katika muziki wa Tanzania, swala
la kufika level za kimataifa hilo ni swala la sisi watanzania kumwezesha pamoja
na Yeye kuwa under management makini hasa kipindi hichi anachoanza kuingia
katika fani hii ya muziki....nilimpigia kula nikijiamini Walter ndiye mshindi
wangu na kweli hajaniangusha....Nimefurahi sana. Nakutakia kila La Heri.







0 comments:
Post a Comment