
Muddy kilosa
achia track
mpya aliyoifanya studio inayoongoza kwa scandle za bifu kila utakaposikia habari kutoka kwao! Na si mara ya kwanza kutengeneza hit mpya kila siku ingawa
bado sijajua siri
ya kuweza kufanya vizurio kwa mwaka 2012 kwenye industy ya mziki wa wa bongo flavor! Shione rec ambapo Mr t ndie aliehusika
kwenye miundo mbinu ya pishi liitwalo Hisia za moyo kutoka kwa msanii ambae ana
asili ya uarabu
kwa sababu babu yake mzaa baba
nio muarabu
lakini yeye ni raia halali wa Tanzania.
Ombi lake kwa watanzania ni kumpokea na kumwamia yale atakayokuwa
hayajawafurahisha ili kufikia kwenye malengo aliyoyapanga ili kusogeza mziki wa
bongo flavor!
Artist: Muddy Kilosa
Track: Hisia za Moyo
Studio: Shine Rec
Producer: Mr T
Kwa lolote lile!
00655777591
– lugano
0714315680
– mudd kilosa
0652 89 48 71 - baghdad







0 comments:
Post a Comment