Friday, November 30, 2012

FID Q AFUNGUKA KUHUSIANA NA DARASA LAKE

 
Msanii wa Hip Hop kutoka mwanza city almaarufu kama Fid Q, baada ya kutangaza katika blog mbalimbali kwamba ameandaa kituo chake cha mafunzo ya Hip Hop huko maeneo ya mikocheni,sasa leo kupitia katika ukurasa wake wa facebook aliweza kuandika kwamba siku ya kesho anatarajia kuachia ngoma mpya kutoka kwa mwanafunzi wake.

0 comments:

Post a Comment