Msaniii wa kizazi kipya
kupitia hip hop ROMA amepata ajali mbaya barabara ya Morogoro. Roma anasema
alikuwa yupo kwenye mwendo wa kawaida lakini ghafla tairi la mbele lilipata
pancha na gari likaacha njia yake na kwenda kugongana uso kwa uso na fuso ambalo
lilikuwa upande wa pili na gari hilo dogo alilokuwa akiendesha Roma kurudi
lilipotokea.
Roma amesema ameelekea
Hospital kwa check up zaidi ila aliokuwa nao kwenye gari hakuna aliyeumia wote
ni wazima.
![]() |
Huyu ni mmoja kati ya marafiki wa Roma aliyekuwa nae kwenye gari wakielekea Morogoro kwenye show |
![]() | ||
Roma akitoa maelezo kwa askari wa usalama barabarani juu ya kilichotekea mpaka kusababisha ajali |
![]() |
Gari ya Roma ikiwa imeharibika vibaya Source: http://djchoka.blogspot.com/ |
0 comments:
Post a Comment