Tuesday, February 28, 2012

BOU NAKO SASA AJIUNGA NA VATOCOLO

Bou Nako akiwa na Fi Do
Rapper kutoka pande za kaskazini Arusha mwa Tanzania, Bou Nako  amejiunga rasmi katika kundi la 'Vatoloco' lenye maskani yake A Town.
Kabla ya hapo Bou Nako alikuwa kwenye kundi la Nako2Nako Soldiers, na baadae akajiunga na Vinega kabla ya kuamua kurudisha majeshi nyumbani kwa kuungana na raia wa pande hizo.
"Yap nimeamua kujiunga na Vatocolo, ili kwa pamoja tuweze kusongesha gurudumu hili la burudan. Halafu si unajua hii ni crew ya nyumbani hivyo ni vzuri zaidi nimejiunga" alisema Bou nako.

0 comments:

Post a Comment