
Zaidi ya wasanii watano kati ya wale 19 waliojumuika kutengeneza wimbo
na video ya wimbo "Cocoa na Chocolate" kwa ajili ya kuhamasisha kilimo
kwa vijana na kuwa kiimo kinalipa, wamekutana Lagos nchini Nigeria kwa
ajili ya uzinduzi wa video hiyo, huku watagazaji mbali mbali kutoka mchi
mbalimbali nao wakihudhuria uzinduzi huo akiwemo Fetty, Fettylicious
Fe;eh.
Zaidi ya wasanii 19 kutoka katika nchi mbali mbali Africa wakiwemo
Diamond (Tanzania) D'Bhanji na Femi Kuti (Nigeria), Fally Ipupa (DRC) na
wengineo walikutana nchni south Africa na kutengenea wimbo wa pamoja
unaohamasisha vijana kujihusisha na maswala ya kilimo na kuwaambia
vijana wa kiafrica kuwa maisha yao ya baadae yako chini ya miguu yao
wenyewe na katika mikono yao wenyewe.
Video hiyo imeshakamilika na alhamis ya wiki hii itaonyeshwa katika TV station Mbali mbali Ikiwemo Clouds TV kutoka Tanzania.
Tizama trailer ya video hiyo iliyotoka leo hii
Source: Dj Fetty Blog








0 comments:
Post a Comment