Wafanyabiashara
Ambele Mwasyeba (kulia) na Sebastian Kavishe wanaotuhumiwa kuhujumu
Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits kwa kuuza bia ya Windhoek bila
ya kuwa na kibali cha kampuni hiyo wakisindikizwa na askari polisi
kuingia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo
kusomewa mashtaka yao. Kampuni ya Mabibo ndiyo pekee iliyoruhusiwa
kisheria kuingiza na kusamabaza kinywaji hicho hapa nchini.








0 comments:
Post a Comment