
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Profesa John Nkoma akiwasilisha mada ya kwanza juu ya Ukubwa wa Sekta ya Mawasiliano na changamoto zake hapa nchini wakati wa Warsha ya siku mbili kwa wamililiki wa magazeti tando (Bloggers) hapa nchini,iliyoanza rasmi leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania,Uliopo eneo la Sinza B,jijini Dar es Salaam.
Meneja
Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Innocent Mungy
akitoa utambulishao wa baadhi ya watoa mada wakuu wakati wa Warsha ya
siku mbili kwa wamililiki wa magazeti tando (Bloggers) hapa
nchini,iliyoanza rasmi leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania,Uliopo eneo la Sinza B,jijini Dar es
Salaam.
Mmoja
wa Wakurugenzi kitengo cha Watoa Huduma wa Mamlaka ya Mawasiliano
Tanzania (TCRA),Dkt. Raynold Mfungahema akiwasilisha mada yake ya
Haki,wajibu na utoaji huduma wakati wa Warsha ya siku mbili kwa
wamililiki wa magazeti tando (Bloggers) hapa nchini,iliyoanza rasmi leo
kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano
Tanzania,Uliopo eneo la Sinza B,jijini Dar es Salaam.
Sehemu
ya Wapiga Picha kutoka Vyombo mbali mbali vya habari ambao pia walifika
kwenye warsha hiyo ikiwa ni sehemu ya kuihabarisha jamii kuhusiana na
Warsha ya siku mbili kwa wamililiki wa magazeti tando (Blogggers) hapa
nchini,iliyoanza rasmi leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania,Uliopo eneo la Sinza B,jijini Dar es
Salaam.











0 comments:
Post a Comment