
SONG 2030
PRODUCTION
TONGWE RECORDS
PRODUCER J
RIDER + YUDDI
2030
Ni jibu la
mathematics, ambapo kule tulikuwa tunatafuta thamani ya "X"
sasa tumepata
X=2030, falsafa yake ni kuwa ni wimbo unaomuhusu mtoto aliyezaliwa
mwaka huu
ambao wimbo umetoka yaani 2012, na kwakuwa mapinduzi na changez
huanzia
nyumbani, basi nilifanikiwa kupata mtoto wa kiume mwaka huu october 4th
nikamuita
IVAN(means GIFT FROM GOD).
Kwakuwa miaka
ya mtanzania kufikisha umri wa utu uzima ni
miaka 18, basi
aliyezaliwa leo 2012 hadi afikishe umri huo wa miaka 18 basi
itakuwa ni
2030.
(Mathematically
2012 + 18 =2030) hiyo ndiyo falsafa yake.
So ni wimbo
ambao ni kama mtoto mchanga IVAN, na wote waliozaliwa kipindi hiki
cha mwaka
ambao wimbo umetoka, na yaliyoongelewa ndani ya wimbo na ndani ya album
itakayokuwemo
nyimbo hii, ni maneno ambayo yatamjenga mtoto huyu aliyezaliwa sasa
katika misingi
bora, tukisaidiana kwa pamoja sisi tuliokwisha liona jua, kuwalea hawa
waliozaliwa
sasa katika misingi hiyo bora ili wakifikisha umri huo wa miaka 18
wawe ni
miongoni mwa vijana ambao watakuja kuleta changes katika jamii na taifa kwa
ujumla
(positive
impacts). Katika misingi mizuri miaka hiyo ya usoni kuanzia mwaka huo wa 2030!!
Haya
yatawezekana kama tutawalea katika malezi mazuri kiimani,kitaaluma,
kiafya,
kitamaduni, kiamani, kiupendo, kibusara na maadili mema na yote
tuliyoagizwa
katika wimbo huu na album kwa ujumla!!
Kwa hiyo hata
sisi wazazi/walezi/viongozi/vijana/wazeee na jamii yote kwa ujumla inatuhusu
hii nyimbo, kwani tukiungana kwa pamoja na kuyaishi haya basi nina maono
ya kuwa mwaka
2030 tutakuwa tumeshafanya changez kubwa kwa taifa letu au utakuwa ndio mwanzo
mzuri wa kuleta mapinduzi chanya hapa nchini,na jamii kiujumla.
(SACRIFICE FOR
YOUR SONS n DAUGHTERS, ILI WAJE KUISHI VEMA)
wimbo huu
umezaliwa leo na tuubariki maneno yake yaishi kwa miaka hiyo
na zaidi ili
kunako 2030 tuone na tujivunie matunda ya mtoto huyu
hapo akiwa na
miaka 18!!
THANX GOD FOR
HAVIN I.V.A.N nipe busara, akili,
na hekima
nimlee katika misingi uliyotuagiza!! nanyi mkayaishi kayo
niliyowatuma!!!
HALELUYAH!!
R.O.M.A Z BACK
VRUUM TONGWE RECO RDS BEEIB... u know TANGA z ma hood!!!
0 comments:
Post a Comment