Msaanii maafuru wa filamu nchini Tanzania asiyeishiwa na vibweka
Wema Sepetu (katikati) akizungumza na wanahabari katika ukimbi wa habari
maelezo jijini Dar kwa nia ya kuomba radhi kwa watanzania kwa niaba yake na
msanii mwenzake Ant Ezekiel kuhusiana na tukio la wao kupigwa picha
zilizowaonyesha ‘ndivyo sivyo’ nusu uchi wakati wakijiachia katika Tamasha la
Serengeti Fiesta lilipofanyika mkoani Dodoma. Kulia ni Msanii wa Bongo Movie
Ant Ezekiel na kushoto Katibu Mkuu wa TAFF Wilson Makubi.
|
Wema Sepetu Mbele
ya kamera akiomba radhi na kusema watanzania “ Kiukweli hatujafurahia na tumeumia
sana” na tunatumia
fursa hii kuomba Msamaha.
Picha kwa hisani ya Mo Blog
HIZI NI BAADI YA PICHA ZENYEWE
|
0 comments:
Post a Comment