PROFESSOR JAY FOUNDATION Kwa
kushirikiana na 100.5 TIMES FM inakuletea ziara ya kitongoji kwa kitongoji
Tuliyoipa jina la NISHIKE MKONO TOUR, ikiwa na nia ya kusaidia sehemu husika kwenye
sekta ya ELIMU NA AFYA, Na kwa kuanzia tunaanza ijumaa ijayo Tar 26 pale KIBAHA
CONTENER Na tar 27 CHEM CHEM - MLANDIZI, Wasanii kibao wamekubali kushirikiana
nasi kwenye hili suala la kijamii Kwa njia moja ama n yingine, kama vile JUMA
NATURE, SUGU, AY, FA, AFANDE SELE, MADEE, NAY WA MITEGO, LINEX,BLACK RHYNO,
BARNABA,MATONYA, SQUEEZER, MBATIZAJI na wengine kibao Na pia wengine wengi
tunaendelea kuwajuza kuhusu hii dhamira yetu, yoyote atakayependa kushirikiana nasi pia anakaribishwa sana pia awasialiane nasi tafadhali kwa sababu hili suala ni la wote na sio letu pekee, tucheki kwenye email yetu ya professorjayfoundation@gmail.com, MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI AFRICA!!








0 comments:
Post a Comment