Dar es Salaam,Tanzania.
WAKATI sinta fahamu kuhusu sakata la Kamati Kuu ya Cha Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kumfukuza katika safu ya Uongozi aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho Zitto Kabwe,taarifa za ndani ya Chama hicho zinaeleza kwamba Mbunge huyo wa Kigoma amefukuzwa uachama.
Taarifa zinaeleza kwamba ingawa kuna mvutano mkubwa kuhusu kufikia uamuzi huo,ila wajumbe wa Kamati Kuu wamezidia nguvu na Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dk Willbrod Slaa ambao wamegoma katakata kuwasamehe watuhumiwa hao huku wakisema kwamba kitendo cha kuwa samehe itaongeza uhaini ndani ya Chama.
Inaelezwa kwamba hatua hiyo pia ili sababisha mwasisi wa Chama hicho Mzee Edwin Mtei kuingilia kati suala hilo, lakini akazidiwa nguvu na wawili hao kwa hoja kwamba Zitto akisamehewa Chadema itakufa,hivyo ni bora akafukuzwa ili wabaki na kazi moja ya kukijenga Chama mapema kabla ya kufika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
WAKATI sinta fahamu kuhusu sakata la Kamati Kuu ya Cha Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kumfukuza katika safu ya Uongozi aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho Zitto Kabwe,taarifa za ndani ya Chama hicho zinaeleza kwamba Mbunge huyo wa Kigoma amefukuzwa uachama.
Taarifa zinaeleza kwamba ingawa kuna mvutano mkubwa kuhusu kufikia uamuzi huo,ila wajumbe wa Kamati Kuu wamezidia nguvu na Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dk Willbrod Slaa ambao wamegoma katakata kuwasamehe watuhumiwa hao huku wakisema kwamba kitendo cha kuwa samehe itaongeza uhaini ndani ya Chama.
Inaelezwa kwamba hatua hiyo pia ili sababisha mwasisi wa Chama hicho Mzee Edwin Mtei kuingilia kati suala hilo, lakini akazidiwa nguvu na wawili hao kwa hoja kwamba Zitto akisamehewa Chadema itakufa,hivyo ni bora akafukuzwa ili wabaki na kazi moja ya kukijenga Chama mapema kabla ya kufika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.









