Muungano wa wasanii Tanzania August 06 walikutana na Rais Jakaya Kikwete pamoja na Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Dkt John Magufuli kwa ajili ya chakula cha usiku pamoja na kuzungumza kuhusu sanaa ya Tanzania.
Hii iliwahusu wasanii wa Filamu na muziki ambao kwa pamoja waliamua kumkabidhi Rais Jakaya Kikwete zawadi ya picha yake ikiwa na majina ya wasanii wote wa Tanzania,picha hiyo niliinasa pia mtu wangu ni hii.
Ukiangalia vizuri picha hii utaona majina ya mastaa wako kadhaa kama
Madee,Wema Sepetu,Mwasiti,Young Killer,Vanessa Mdee,Juma
Nature,Matonya,Mwana Fa,Barnaba,Mo Music,Damian Soul,Jokate,Afande
Sele,Ommy Dimpoz,Yamoto Band na mengine mengi
0 comments:
Post a Comment