
“ili kupata huduma ya Airtel Money mteja anatakiwa kupiga *150*60# na
kuunganishawa na orodha ya Airtel Money itakayokuwezesha kufanya miamala
mbalimbali ikiwemo kununua LUKU
Airtel
Tanzania inatoa huduma ya fedha kwa njia ya huduma ya Airtel Money
ambapo imekuwa msaada mkubwa katika maisha ya watanzania. Jitihada za
kuwezesha upatikanaji wa huduma za Airtel Money nchini umeendelea kuwa
wa mafanikia ambapo Airtel imeweza kuwa na mawakala wa Airtel Monye
zaidi ya 35,000 nchin nzima na kuwezesha upatikanaji wa huduma za
kifedha na manunuzi ya bidhaa mbalimbali kuwa rahisis na ufanisi zaidi.
Huduma hii imekuja kwa wakati muafaka hivyo napenda kuwahamasisha
wateja kuendelea kufurahia huduma hii ya Airtel Money”.aliongeza
Naligingwa
Huduma ya Airtel Money inawawezesha wateja wake kufanya malipo ya ankra za bidhaa na huduma kama vile .
DAWASCO, LUKU, USA visa, DSTV, pamoja na kununua muda wa maongezi,
kununua vifurushi vya yatosha , kutuma na kupokea pesa kwa nusu gharama
na Bure kupitia vifurushi vya bure pack pamoja na huduma nyingine
nyingi







0 comments:
Post a Comment