Katibu wa Uenezi na Itikadi wa CCM, Nape Nnauye akisalimiana na kikosi
kazi cha wanahabari walio kwenye msafara wa Katibu Mkuu wa CCM
Abdulrahman Kinana baada ya kuwasili leo kwenye Uwanja wa Ndege wa
Kigoma, tayari kwa ziara ya siku 5 mkoani humo. PICHA NA KAMANDA WA
MATUKIO BLOG
0 comments:
Post a Comment