Thursday, March 6, 2014

PICHA: Vodacom Foundation yazindua Ripoti ya Connected Women

Vodacom Foundation jana imezindua ripoti ya Connected Women ikilenga namna ambayo Teknologia ya simu imeweza kusaidia matibabu ya Fistula kwa wanawake nchini Tanzania kwa ushirikiano na Hospitali ya CCBRT.
 
 
 
 

 
 

 
 Mgeni rasmi Mh. Mama Salma Kikwete akiingia ukumbini.

 
 Tanzania House of Talent (THT) nao walikuwepo kutoa burudani katika hafla hiyo.
Balozi Mh. Maajar akimkaribisha Mgeni Rasmi katika uzinduzi huo.


 
 

 
Miongoni mwa wanawake ambao wameweza kutibiwa Elizabeth akielezea namna Teknolojia ya simu imewezeza kufanikisha matibabu yake. 
 

Mama Salma Kikwete akitoa Hotuba katika uzinduzi huo 
 


















0 comments:

Post a Comment