SIku ya
Alhamisi msanii Rick Ross aliachia ngoma mpya ambayo amemshirikisha Jay Z
inayoitwa 'The Devil IS A Lie', ambapo ilitambulishwa imetengenezwa kwa
producer K.E. on the track.
Lakini
kupitia mtandao wa Twitter, aliibuka producer Major Seven na kudai kuwa beat ya
ngoma hiyo imeibiwa kutoka kwake na K.E on the track. Major Seven amemuita K.E
kuwa ni mwizi wa kuaminika na pia alisema ataachia clip ya video inayoonyesha
akitengeza beat hiyo ili kuthibitisha kile anachokisema.
Rick Ross feat. Jayz Devil is a Lie prod. by Me stolen by @_keonthetrack http://t.co/YX5APK2Svr this guy is a straight theif!!!!
— Omar Walker (@MajorSeven) December 19, 2013
when i make the beat vid for devil is a lie, it wont be fake like KE's i will show yall every individual sound! and the dates on sessions
— Omar Walker (@MajorSeven) December 20, 2013







0 comments:
Post a Comment