Friday, October 4, 2013

Tuna Imani na Tume ya Warioba - Nape

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari leo katika Ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM-Lumumba Dar es Salaam. Alikuwa akitoa ufafanuzi kuhusu masuala yahusuyo Mchakato wa Katiba mpya na kusema "tunaiheshimu tume,tunaimani nayo na tunaahidi ushirikiano wa kutosha katika mchakato wa Katibu"

0 comments:

Post a Comment