Saturday, October 12, 2013

MRADI WA ULINZI NGAZI NA FAMILIA MKOA WA KINONDONI WAZINDULIWA

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam Suleiman Kova akitoa hotuba yake wakati akizindua mradi wa ulinzi ngazi na familia mkoa wa Kinondoni Tarafa ya Kinondoni leo Oktoba 11-2013 kwenye viwanja biafra jijini Dar es salaam,pia amewataka wananchi kutoa taarifa kwenye jeshi la polisi watu ambao wanaishi nao wasikubali kukaa na watu ambao hawajui kazi wanazofanya.


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Camillus Wambura akielezea mikakati wanaopambana na wahalifu pamoja na kushirikiana na Polisi jamii.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam Suleiman Kova akimpa mkono wa pongezi Katibu wa Kampuni ya Suppot Group Bw,Coles Scott baada ya kuchangia pikipiki 4 aina ya Honda kwaajili ya matumizi ya Polisi jamii.

Bendi ya Polisi ikitoa burudani na miondoko ya Makhiri khiri wakati wa uzinduzi huo.
 Kikosi cha ulinzi shirikishi Polisi jamii wakipita kwa mwendo wa pole mbele ya mgeni rasimi wakati wa uzinduzi wa mradi wa ulinzi ngazi na familia mkoa wa Kinondoni Tarafa ya Kinondoni leo Octoba 11-2013 kwenye viwanja biafla jijini Dar es salaam.
 Viongozi wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam Suleiman Kova (watatu kutoka kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na wakurugenzi wa makampuni ya ulinzi pamoja na maofisa wa polisi.
Wanchi mbalimbali pamoja na viongozi wengine wakishuhudia uazinduzi huo.
 PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE DAR ES SALAAM
 

0 comments:

Post a Comment