Monday, October 21, 2013

Hawa Ndiyo Wasanii Watakaotumbuiza katika Tamasha la Serengeti Fiesta Oktoba 21, mwaka huu

 
Davido (Nigeria)
 
Wasanii wa kimataifa wanatarijiwa kutumbuiza katika fainali za tamasha la Serengeti Fiesta zitakazofanyyika jijini Dar es Salaam Oktoba 26, mwaka huu.
Awali wasanii wawili kutokana katika nchi za Nigeria na Jamaica, ambao ni Davido (Nigeria), Alaine (Jamaica) na J Martins.
 Alaine (Nigeria).
Leo kupitia Clouds Fm wasanii wengine wawili wamethibitisha kukinukisha katika Jukwa la Fiesta, wasanii waliothibitisha ushiriki wao ni Mohombi pamoja na Inyanya kutoka nchini Nigeria.

 
Mohombi
Wasanii wengine ambao watashiriki katika tamasha hilo ni pamoja na Fid Q, Weusi, Young Killer, Kala Jeremiah, Nikki Mbishi, Stamina, Godzilla, Quick Rocka, Country Boy, Cliff Mitindo, Mabeste, Ney Wa Mitego, Mwana FA na AY, Kala Pina, Chidi Benz, Gosby 'King of Swaghili', Darasa,.

Wengine ni Ommy Dimpoz, , Rich Mavoco, Makomando, Lina, Shilole, Snura, Recho, Cassim, , Juma Nature, Ney wa mitego, Madee, Nikki, , Linex, Shettah, H Baba, Samir, Afande Sele, Baba Levo, Peter Msechu, , Mirror, Menina, Walter, Nuhu, , Blue, Young D, Dully, Amini, Christian Bella, TID, , Ney Lee, Ben Pol, Vanessa, Chege na Temba, Diamond.

0 comments:

Post a Comment