Tuesday, August 27, 2013

Samaki Samaki ya Mbezi Beach Yateketea kwa Moto




Hivi ndivyo ilivyo sasa Bar maarufu ya SAMAKI SAMAKI iliyokuwa ikivuma sana jijini Dar es Salaam. Bar hii iliyokuwa maeneo ya Mbezi Beach jijini imefikwa na janga la moto hii leo majira ya saa 3:15 asubuhi wakati moja ya makarandinga yaliyokuwa yakibomoa nyumba zilizopo kando ya barabara ya Bagamoyo (mkono wa kushoto ukitokea Mwenge) kupisha mradi wa maji wa DAWASCO.
 
Kwa mujibu wa Mashuhuda wa tukio hilo wanasema kuwa chanzo cha moto huo ni Buldoza lililokuwa likivunja kusababisha moto kupitia bomba lake la moshi ambalo lilikuwa limeshika katika makuti na kushika moto.

0 comments:

Post a Comment