Sunday, June 30, 2013

Hii Ndiyo Ngoma Mpya ya Diva Atakayoiachia siku za Karibuni... Sikiliza Kionjo hapa

Diva Loveness a.k.a Diva The Bawse ameachia Teaser(Kionjo) ya wimbo wake mpya 'Jicho la Huba' anaotarajia kuuachia hivi karibuni akiwa amemshirikisha Stereo, and guess what..Prezzo atasikika pia kwenye hii ngoma iliyopikwa na Lamar.
'Jicho la Huba' ni wimbo unaofuata baada ya ule wa kwanza wa 'Pokea Simu' na 'Mgonjwa kwa Raha Zako'

0 comments:

Post a Comment