
The
Hit maker wa ‘Nai Nai’ na ‘Baadae’ Ommy Dimpoz ‘Super Handsome’ amesema kwa sasa yuko kwenye harakati
za kuandaa Documentary itakayoelezea maisha yake halisi.
Ommy
Dimpoz aliyatiririsha hayo wakati akifanya interview na TAGz ya DTV ambapo
amesema kuwa ameshaanza kushoot baadhi ya scene za Documentary hiyo.
“Ni
kweli na tayari nimeshaanza kushoot baadhi ya vipande kadhaa ya Documentary
hiyo, ambapo ndani yake kutakuwa na watu watakaomulezea Ommy Dimpoz wakiwemo
ndugu zangu” alisema Ommy Dimpoz.







0 comments:
Post a Comment