Msanii
wa Bongo Fleva kutoka kundi la TMK wanaume Chegge Chigunda ambaye anazidi
kufanya vizuru kwa hapa Tz mpaka East Africa kwa ngoma zake kali kama
Mwanayumba,Kinomanoma,Mikanda,Mkono mmoja na ngoma nyingine kali.
Habari
kutoka kwa kutoka
kwa msanii huyu ni kwamba aliamua kuweka wazi kwamba kwa sasa japokuwa
wameshatoka ngoma yao mpya ya kundi inayokwenda kwa jina la Tutaonekanaje
na wameshaitoa katika vituo mbalimbali sasa habari nzuri nyingine kutoka katika
kundi ili ni kwamba wamepanga mikakati ya kufanya movie yao mpya inayokwenda
kwa jina la Mwanayumba.Kwa hiyo wale mashabiki wa Tmk Wanaume Family
dzain kama inawahusu hii.







0 comments:
Post a Comment