Jumapili hii
ndani ya New Maisha Club, BaabKubwa Entertainment itakuletea Baabkubwa Releoded
Party ambayo itahusisha uzinduzi wa muonekano mpya wa BaabKubwa Magazine na
kutimiza miaka 8 tangu kuanzishwa.
Kutakuwa na show kali kutoka kwa Wasanii BOB JUNIOR, MR BLUE, RICH MAVOKO huku
wakisindikizwa na DAYNA, Sam wa Ukweli,
BAGHDAD, Meddy, WARWILL na wengine wengi.
Pia kutakuwa na Countdown Cover kumi {10} bora
za BaabKubwa Magazine tangu kuanzishwa kwake utaweza kuziona live siku hiyo.
Uzinduzi wa Magazine mpya na Orijino Komedi.
Bila kusahau show
itakuwa hosted by ADAM MCHOMVU “Baba
Jonii’ from XXL ya Clouds Fm.
Zaidi kutakuwa na
Red Carpet kwa ajili ya Masuper Star wa Bongo Movies na Bongo Flavour ambayo
itaanza mapema mida ya saa 5 usiku ikifuatiwa na show kutoka kwa wasanii mapema
kuliko show zote zilizowahi kufanyika ndani ya New Maisha Club.
NOTE:
Entrace Tsh 10,000/= na ukiingia utapewa BaabKubwa Magazine mpya {Issue 72}
bureee….. Itakayotoka siku hiyo. TOFAUTI NA SJOW NYINGINEBAABKUBWA RELOADED
PARTY ITAANZA MAPEMA. Usikoseeeeeeee







0 comments:
Post a Comment